Kibabii University

Sheria ya Magoli ya Kufungana Yakifungia Nje Kikosi cha Kibabii katika Michuano ya KUSA

Na Ammar Kassim

Chuo Kikuu cha Kibabii kilianza kampeni yake ya kufuzu kwa michuano ya vyuo vikuu nchini (KUSA) kwa kutoka sare ya goli moja kwa moja dhidi ya chuo cha Kaimosi.

Kibabii ilionekana kudhibiti mchezo katika dakika za mwanzo kwa kuwapiga wenyeji Kaimosi bao la mapema. Bao hilo lilifungwa na difenda Aguastine Shikuku aliyepiga mkwaju wa ikabu uliomzidi nguvu mlinda lango wa timu ya Kaimosi.

Soma zaidi

Sheria ya Magoli ya Kufungana Yakifungia Nje Kikosi cha Kibabii katika Michuano ya KUSA

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp