Kibabii University

CHAKIKI Kwenye Kongamano la CHAWAKAMA Kenya

Chama cha Kiswahili Kibabii (CHAKIKI) kiliwakilisha Chuo Kikuu cha Kibabii katika Kongamano la Kiswahili lililoandaliwa na Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili katika vyuo vikuu vya Afrika Mashariki (CHAWAKAMA-Kenya) katika Chuo Kikuu cha Egerton Bewa Kuu-Njoro ambapo wanachama 47 walishiriki mnamo tarehe 10/11/2018

CHAKIKI Kwenye Kongamano la CHAWAKAMA Kenya

CHAKIKI Kwenye Kongamano la CHAWAKAMA Kenya

Share on facebook
Share on twitter
Share on linkedin
Share on whatsapp